Wednesday 19 September 2007

Jumuwata inakuhitaji..


Jumuiya ya Wanablogu wa Tanzania inawakaribisha wanablogu wote katika kuchangia, kurekebisha, kukosoa, kutoa ushauri n.k katika katiba ya jumuiya.

Mchango wako wa kimawazo unahitajika sana ili kuweza kupatikana kwa katiba nzuri kwa manufaa ya wanablogu wote.

Usomapo Tangazo hili tafadhali mjulishe na mwanablogu mwenzako.

No comments: