Tuesday 14 July 2009

Ngoma Africa Band Kupeleka Moto Mwingine Tampere! Finland




The Ngoma Africa Band aka FFU! wanatarajiwa kutumbuiza katika onyesho la
FEST AFRIKA, mjini Tampere, huko Finland siku ya Jumamosi 18-07-2009.

Katika maonyesho hayo pia kutakuwapo na bendi nyingine za mziki na vikundi vingine vingi vya sanaa za maonyesho kikiwemo kikundi maarufu cha The Mpondas Group chenye maskani yake mjini Tampere.bendi ya The Ngoma Africa ilikuwapo Ufini mwanzoni mwa mwezi wa February mwaka 2009 katika misimu wa barafu huko ufini,na kufanikiwa kuwasha moto wake wa mziki.

Wadau wa Scandinavia bendi yenu inakuja kufanya kazi mliyowatuma kufanya nanyo ni mziki moto moto!.

The Ngoma Africa bendi inayotingisha majukwaa kila kukicha bado inaendelea na kufuka majukwaa kama vile moto wa nyikani.

Wasilikize hapa www.myspace.com/thengomaafrica ukiwataka ngoma4u@googlemail.com

No comments: