Wednesday 12 August 2009

Usafirishaji wa Mizigo Zenj...








Usafirishaji wa mizigo kwa kutumia Wanyama ulipigwa marufuku kufanyika ndani ya mipaka ya Halmashauri ya Manispaa ya Zanzibar mara baada ya Mapinduzi. Hata hivyo kidogo kidogo magari ya mizigo ya Punda na Ng'ombe yamerudi tena kubeba mizigo ndani ya Manispaa.




Mkokoteni huko Pemba

No comments: