Thursday 28 January 2010

BLW: Hoja ya Serikali ya Kitaifa Yawasilishwa Leo...




Dondoo 5 za hoja ya msingi ni -

1. BLW liyaridhie na kuyapa nguvu Maridhiaano.

2. Uanzishwe mfumo serikali ya Umoja wa Kitaifa itayohusisha vyama vya siasa vyenye wajumbe ndani ya BLW.

3. Serikali hiyo ya Umoja wa Kitaifa izingatie uwiano kwa mujibu wa kura za urais.

4. Baraza lifanye marekebisho ya vifungu vya 39, 42 na 62 ili kuweka utaratibu wa serikali ya Umoja wa kitaifa.

5. Baraza liweke utaratibu wa kura za maoni, referendum.


Source: JF

No comments: