Tuesday 12 January 2010

Miaka 46 Gizani




Leo ni sikukuu ya Mapinduzi ambapo yanatimiza miaka 46, tofauti na miaka iliyopita sherehe za mwaka huu zinafanyika gizani. Katika kusherekea sherehe hizo kitaifa zitafanyika kule kwenye matatizo ya muda mrefu ya giza na action za kelele za jenereta.
Kila la heri katika kusherekea mapinduzi

Mapinduzi Daima

No comments: