Monday 26 July 2010

Hamad Masauni aibukia Kikwajuni...


Baada ya kulazimika kujiuzulu Uenyekiti wa Umoja wa Vijana(CCM) kutokana na kashfa ya kughushi umri wake, Hamad Masauni amechukua fomu ya kugombea ubunge katika jimbo la Kikwajuni...

Swali la kizushi, katika fomu hiyo atajaza umri gani?


Zaidi kama inayosomeka hapa

No comments: