Monday 18 June 2012

Semina ya Viongozi wa Dini -Zanzibar



Rais wa Zanzibar na Mwnyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa kidini katika kukuza dhana ya Utalii kwa wote,mara baada ya kuifungua semina ya siku moja iliyofanyika leo katika ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja.


Source:Salma Said

No comments: