Monday 9 July 2012

Mji Mkongwe(Stone Town) Wasafishwa


Siku ya Jumapili iliyopita, Mji Mkongwe ulisafishwa kwa kufagia barabara na chochoro zake pamoja na kuzoa taka mbalimbali katika Mji huo. Usafishaji uliwashirikisha Sustainable East Africa, FAZACH, Conservation & Education-Chumbe Island Coral Park na skuli kadhaa za Mji Mkongwe.

No comments: