Tuesday 24 July 2012

Tetesi: Karume atakiwa kurudisha kadi ya CCM

Makamo Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar Abeid Karume, Mshika Fedha wa CCM, na baadhi ya wajumbe wa baraza la wawakilishi watakiwa kurejesha kadi za CCM haraka baada ya kukiuka maadili ya chama chao.

No comments: