Tuesday 21 August 2012

Hali ya Bi kidude sio nzuri..

Licha ya kutoa mchango mkubwa kwa taifa lake katika usanii lakini serikali, wasanii na waandaaji wa matamasha mbali mbali wamemtelekeza msanii maarufu Bi Fatma Binti Baraka (Kidude). Mweenyezi Mungu atampa afya njema inshallah

Salma Said

No comments: