Thursday 23 August 2012

Uamsho na Sensa...


WASALITI WANAYOIKUBALI SENSA-WAJITOKEZA.

Baadhi ya vyombo vya habari vikiwemo vya serikali jana walipotosha umma kwa kudai ati baadhi ya Taasisi za kislamu zilizo ungana katika harakati za ukombozi wa zanzibar zimesema hazikushirikishwa katika swala la sensa.

Taasisi zilizoungana na kuwa kitu kimoja ni jumla ya TAASISI ZA KIISLAMU 32 nazote zimeshiriki katika vikao vyote vya upingaji sensa tunavitaka vyombo hivo ikiwemo zenji fm,radio zanzibr na zbc viache kupotosha umma.

Vile vile zimejitokeza baadhi ya TAASISI ZA KIISLAMU AMBAZO HAZIMO KATIKA ZILE 32 WAMEANZA KUWASALITI WAISLAMU KWA MASLAHI YAO BINAFSI NA ETI WANAIYOGOPA SERIKALI.

Taasisi hizo ni ya TAHFIDH QUR-AN inayongozwa na MAALIM SULE YA KIKWAJUNI na JUMUIYA YA YAMAHDY JUNED inayongozwa na ust SAMIR hawa wanaungana na BAKWATA na OFISI YA MUFTI KUWASALITI WAZANZIBAR NA WAISLAMU wao wamewahamasisha wanachama wao na wafuasi wao washiriki sensa.

LAKINI SISI HATURUDI NYUMA KAMA WAO WATASHIRIKI SISI MSIMAMO WETU UKO PALE PALE HATATAKI SENSA.

Tunataka nchi yetu sensa baadae.

TUWACHIWE TUPUMUWEE...

No comments: