Thursday 26 December 2013

I am one in-charge in Zanzibar - Shein



Dr.Shein have said it all ! " Citizens are free to express their opinions,but not on behalf of the government".
Wanaofanya hivyo ni kwa kitumia kivuli cha vyeo vyao kichama ,au kwa vyeo vyao vya kuajiriwa tu".
No ,they can`t and should not confuse the people ; because "I am in charge" he said .

There was no zigzaging in his statement. Dr Shein ,shamed the political polluters and put the rummer mongeres into their rightful
places where they can keep on concocting /lies .

Hapo kale .
Msema kweli mmoja wa kale alisema kwamba : Kusema ukweli ni kama kumenya kitunguu, kila unapomegua ganda machozi hua
yanakutoka;na hata utakapo fikia ganda la mwisho machozi tiriri ".

Ni rahisi kwa wapiga debe la kisiasa kuwadanganya wananchi lakini ni viigumu kuwaelimiha wananchi hao kua wanadanganywa.
Ugumu wake ni kama dereva wa gari bovu kutaka kulisukuma wakati yeye mwenyewe yumo ndani na amejifungia milango na kufunga breki zote.

Jee gari hilo litasukumika verejee ?

Salam.

Ali