Monday 3 February 2014

Matokeo ya Uchaguzi Mdogo Kiembesamaki



Jumla ya kura zilizopigwa 2458.
CCM imepata kura 1856 sawa na 76.5%
CUF kura 445 sawa na 18.3%
CHADEMA kimeambulia kura 84 ikiwa ni sawa na 3.5%.

Hivyo basi mwakilishi mpya wa Kiembesamaki ni Mh.Mahmuod Thabit Kombo pichani hapo juu.

No comments: