Tuesday 3 February 2015

Ukarabati wa Kanisa la Anglikan - Mkunazini Zanzibar

The Anglican Christ Church Cathedral linafanyiwa ukarabati mkubwa katika kipindi cha zaidi ya miaka 140. Kanisa hili lilijengwa mwaka 1873 katika ujenzi uliochukua takribani miaka 10.





Picha kwa hisani ya Kathryn Rossiter

No comments: