Thursday 31 March 2016

Nyumba inauzwa Maungani - Zanzibar



Nyumba inauzwa ipo Maungani, ina vyumba 4 na vyoo 3. ni ya kisasa na ipo katika hali nzuri. Pia ipo ndani ya uzio.

Kuna banda la mtumishi au housegirl ambalo lina chumba na choo jiko na stoo.

Bei ni shs 95,000,000

Kwa maelezo zaidi au kuiona piga simu namba 0777275551. ulizia nd. Khalid

No comments: