Sunday 14 August 2016

TANZIA : Mzee Aboud Jumbe amefariki dunia



Rais wa pili wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mzee Aboud Jumbe amefariki dunia leo hii.

Marehemu alizaliwa tarehe 14.06.1920.

Marehemu alikuwa Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar tokea mwaka 1972 hadi 1984.

Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi.