Saturday 7 April 2018

Leo ni Siku ya Karume...



Leo tarehe 07.04 ni siku ya kumbukumbu ya kifo cha Sheikh Abeid Amani Karume.

Ikumbukwe kuwa hadi kufikia kuuwawa, alikuwa madarakani kwa miaka minane tu! Na aliacha misingi imara ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar.

No comments: