Tuesday 30 June 2009

Leo ni siku kubwa kwangu....


Leo ni siku kubwa kwangu, na ni baada ya kumaliza masomo ya Mazingira katika ngazi ya Shahada... Hapa nipo njiani kwenda kuchukua Nondo yangu. Aidha kwangu mimi ni sehemu kubwa ya mafanikio yangu binafsi na jamii mbalimbali ambako nilijitolea wakati wote wa masomo yangu katika kukamilisha miradi yao.

Habari zaidi nitaziandika mara baada ya kukabidhiwa ramsi Nondo hii... Kwa wale ambao wapo Tampere na Helsinki mnakaribishwa kujumuika nami katika siku hii adhimu.

Monday 29 June 2009

Mpemba na kuku

Saturday 20 June 2009

Leo ni Mwaka Kogwa....


Maelfu ya Wazenj leo wanaungana na Wanamakuduchi katika siku ya kuoga mwaka maarufu kama Mwaka Kogwa. Hizi ni sherehe za kimila zinazofanyika kila mwaka katika mwezi huu wa saba.

Kwa habari zaidi tembelea hapa

Saturday 30 May 2009

Ajali ya Mv Fatih



Tunasikitika kuwatangazia ajali mbaya ya meli ya mizigo (Mv. Fathi ya kampuni ya Seagul mali ya Bwana Said Mbuzi) ambayo ilikuwa ikitokea Zanzibar kuja Dar. Inasemekana kuna idadi kubwa ya watu waliopoteza maisha

Source: Jamii Forums



All pictures by Kibunango