Tuesday 6 October 2009

Zenj by Night




Mishikaki



Zanzibar Pizza


Tuesday 29 September 2009

Tahadhari:- Zanzibar kuna Kipindupindu...

UGONJWA wa kipindupindu umeua watu watatu Zanzibar, wengine 20 wamelazwa katika kambi maalumu, Mtopepo visiwani humo.

Ugonjwa huo ulililipuka juzi katika shehia ya Chumbuni, nje kidogo ya mji wa Zanzibar.

Mkurugenzi wa Afya ya Jamii wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Juma Rajab,amesema,wagonjwa 20 wanapatiwa matibabu katika kambi ya wagonjwa wa kipindupindu iliyofunguliwa juzi.

Ingawa Rajab hakuwa tayari kuelezea tukio hilo kwa undani, alisema wauguzi na madaktari wanajitahidi kukabiliana na ugonjwa huo na pia kuchunguza chanzo chake
.


Bw. Rajab, chanzo cha gonjwa hilo angalia hapa chini



Tuesday 8 September 2009

Siku Aman Karume alipomtoa nishai Ali Karume...


Pichani Prezidenti wa Zenj akiweka wazi njia aliyoitumia kumzuia mdogo wake Ali Karume kuchaguliwa kuingia katika kinyang'anyiro cha uprez wa Jamhuri ya Muungano alipotembelea Finland mwezi wa tatu mwaka 2005.

Safari hii Aman Karume atakutana na kimbembe kama hiki, kwani Ali tayali ameshaweka wazi nia yake ya kumrithi, huku Nadhoda akionyesha nia kwa mbali ya kugombea kiti hicho, hivyo kumpa mtihani mkubwa Amani hapo 2010.

Saturday 5 September 2009