Thursday 10 February 2011

HARUSI TRADE FAIR 2011 - MAONYESHO YA HARUSI 2011



Maonyesho ya Harusi kufanyika Dar.
Wadau wa Harusi kukutanishwa Dar
Siku tatu za Maonyesho ya Harusi Diamond Jubilee
Maandalizi ya Maonyesho ya Harusi 2011 yapamba moto Dar



Maandalizi ya maonyesho ya pili ya Harusi Tanzania ‘Harusi Trade Fair 2011’, yanayotarajiwa kuanza tarehe 1- 3 mwezi ujao katika ukumbi wa Diamond Jubilee yanaendelea vizuri , huku yakiwa yanajumuisha wataalamu waliobobea katika nyanja zote zinazohusiana na suala zima la Harusi.

Muaandaaji na msimamizi wa maonyesho haya makubwa ya Harusi Tanzania, Mustafa Hassanali amesema kuwa “maonyesho ya mwaka huu yatakuwa makubwa, mazuri na yenye kuvutia zaidi ya mwaka uliyopita, na tunatazamia kuyafanya yawe maonyesho makubwa zaidi kwa ukanda huu kwa miaka ijayo”

Nukuu zinasema kuwa, maonyesho ya mwaka huu tayari yameshawavutia zaidi ya washiriki 32 , wakiwemo washiriki wa maonyesho yaliyopita na wapya.

Maonyesho ya Harusi ya mwaka 2011, ni maonyesho ambayo uboreshaji wake umevuka kutoka siku mbili za maonyesho hadi siku tatu kwa mwaka huu, huku likiongezewa na kujumuisha vionjo vingi zaidi.

“Harusi ni tukio zuri, ambalo hutokea mara moja tu, huku likiunganisha familia na jamii pamoja, hivyo nia yetu ni kuwapa maharusi mahitaji yao yoote muhimu kwa pamoja na kwa wakati mmoja, na maonyesho haya ndio sehemu muafaka kwa hilo” alisema Mustafa Hassanali.

Maonyesho haya ya Harusi ambayo hufanyika kila mwaka, huwaleta pamoja wahusika wote wa mambo ya Harusi katika kujenga na kutengeneza mtandao wa kimafanikio baina yao, na ndio maana maonyesho haya yamekuwa ni ya kwanza na ya aina yake Tanzania, ambapo kwa mwaka huu yatapambwa na vitu kama keki, maua, wapiga picha, magauni ya Harusi, bila kusahau mengi na yenye ubunifu katika Harusi.

Gabriel Makupa wa ‘GRM Production’, ambae ni mmoja wa washiriki wa mwaka huu wa maonyesho haya alisema kuwa, wamekuwa na wakati mzuri kibiashara, hali iliyosababishwa na ushiriki wao katika maonyesho haya kwa mwaka uliyopita.

“tumekuwa na wakati mzuri kibiashara, hii imetusaidia kujenga mtandao mzuri kibiashara, tulitangaza huduma zetu vilivyo, na hii ndo sababu ya sisi kushiriki tena mwaka huu” alisema Gabriel wa GRM, kampuni inayojihusisha na upigaji picha katika maharusi.

“makampuni yajitokeze kutangaza huduma zao mwaka huu katika maonyesho haya, ni nafasi nzuri, kwani tumeshapata makampuni 32 mpaka sasa yatakayoshiriki mwaka huu, idadi ambayo inaongezeka kila siku, “ alisema Mustafa Hassanali.

Mmoja wa washiriki wa mwaka huu wa maonyesho kutoka ‘Karibu Holiday’, kampuni inayoshughulika na maandalizi ya fungate kwa maharusi na mapumziko binafsi nchini, Bw. Susai Nathan alisema kuwa, maonyesho ya mwaka huu ni njia mbadala ya kutangaza huduma zao mpya zenye ubora maalum kwa fungate, mahususi kwa maharusi au watakaofunga ndoa katika miezi hii mitatu ijayo.

Haya ni maonyesho ya siku tatu ambayo yana mengi, na si yakukosa kushiriki ama kuhudhuria kwa maharusi, familia, na wale wote wanaohusika na kamati za Harusi, ili kujionea na kujua mengi yahusuyo Harusi na mahitaji yake.


Kwa maelezo zaidi tembelea hapa

Ni wiki ya Sauti za Busara 09.02 - 13.02.2011

Wote Mnakaribishwa

Tuesday 8 February 2011

Watanzania Wajitolea Kutahiriwa...


The Tanzanian government has embarked on a large-scale voluntary male circumcision programme aimed at reducing the HIV risk of men and boys in areas of the country with low levels of male circumcision.

"We have already completed a pilot project and we are now scaling up male circumcision," said Bennet Fimbo, HIV/AIDS adviser to the Tanzania Ministry of Health. "The target group in the campaign will be men and boys aged 10-34."

The programme aims to reach 2.8 million men and boys within the next five years.

Three randomized controlled trials in Kenya, South Africa and Uganda provided evidence that male circumcision can reduce a man's risk of becoming infected with HIV through heterosexual intercourse by as much as 60 percent. The UN World Health Organization recommends male circumcision as one of the tools for HIV prevention, alongside counselling and testing, promotion of safer sex, treatment of sexually transmitted infections and condom use.

An estimated 70 percent of Tanzanian men are circumcised, according to government surveys, but prevalence varies from region to region.

"In some districts up to 80 percent of men, especially in the western parts of the country, are not circumcised," Fimbo said. "In places like Zanzibar, Pemba and coastal areas, where the population is predominantly Muslim, the circumcision rate is almost 99 percent."

He noted that HIV prevalence tended to be lower in areas of the country where male circumcision was common. "In Zanzibar and Pemba, the prevalence is less than 1 percent, while around Lake Victoria, Mbeya and Iringa regions, circumcision is low and HIV prevalence is 14-20 percent."

The programme will focus on seven regions in western Tanzania where levels of male circumcision are particularly low: Iringa, Kagera, Mar, Mwanza, Rukwa, Shinyanga, Tabora, Rukwa.

The programme - supported by the USA - will provide the service free of charge; male circumcision usually costs US$10-17.

AN

Boris Johnson Meya wa London Mashakani Zenj...


Boris Johnson was left humiliated after he had to be rescued while swimming in the sea at a luxury resort.

The gaffe-prone Tory was taking a morning dip with wife Marina when he was swept away by powerful currents off a private island near Tanzania.

Worried staff were so concerned they sent out a boat to fetch him.
One worker, who asked not to be named, revealed: “They didn’t realise how strong the current was. They went out a bit too far and he was getting carried away so we had to launch a motor boat to get them.”

Mayor of London Boris went to the island retreat for the family holiday at the Lazy Lagoon in the Zanzibar channel last year. He was asked if he needed TV news but apparently told staff: “Just tell me if they try to blow up the Tubes again.”
When he made it ashore after being rescued, he tried to laugh off the drama, declaring: “That’s one for the memoirs.”

The mayor, 46, likes to get around by bike but a friend admitted: “He’s not the strongest swimmer.”
Boris got into trouble in the water a couple of years ago when he stumbled into a river in Lewisham, South East London, during a photo call.


Read more: http://www.mirror.co.uk/news/politics/2011/02/05/boris-johnson-rescued-by-boat-after-being-swept-away-as-he-swam-from-luxury-private-african-island-115875-22899730/#ixzz1DM7iDUEv
Go Camping for 95p! Vouchers collectable in the Daily and Sunday Mirror until 11th August . Click here for more information