Friday 19 October 2012

Wawakilishi wa CCM Wagoma


Ni baada ya maskani za CCM kuchomwa moto hapo jana....

Wednesday 17 October 2012

Maskani ya Kisonge Yachomwa Moto

Ni baada ya kutoweka kwa Sheikh Farid wa Uamusho


Saturday 15 September 2012

Uamusho vs CCM?


Rahaleo. Kumetokea mtafuruku katika chochoro za Rahaleo, ambapo inasemekana kuwa kundi la uamusho limeshambulia jengo la CCM.

Saturday 25 August 2012

CUF wagawa Vespa Wilaya ya Magharibi...

Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hamad anaongea katika shughuli ya kukabidhi vespa


Salma Said