Monday 24 February 2014

Milipuko ya Mabomu Leo Hii Zanzibar.


Mgahawa wa Mercury



Kanisa la Anglikani Mkunazini Zanzibar.

Kumetokea milipuko miwili ya mabomu leo huko Zanzibar, moja likilipuka katika lango la kuingilia kanisa la Anglikani la Mkunazini na bomu lingine kulipuka katika mgahawa maarufu Mercury.



Eneo la tukio la bomu Mkunazini.

Saturday 22 February 2014