Monday 24 February 2014
Saturday 22 February 2014
Subscribe to:
Posts (Atom)
Kisiwa cha Zanzibar kimejaaliwa kuwa na kila aina ya vituko na migongano ya aina kwa aina... Kwa ufupi napenda kutoa maoni yangu juu ya vituko hivyo, aidha kujua wengine wanamtazamo gani kuhusu vituko hivyo...
Mgahawa wa Mercury
Kanisa la Anglikani Mkunazini Zanzibar.
Kumetokea milipuko miwili ya mabomu leo huko Zanzibar, moja likilipuka katika lango la kuingilia kanisa la Anglikani la Mkunazini na bomu lingine kulipuka katika mgahawa maarufu Mercury.
Eneo la tukio la bomu Mkunazini.
Posted by Kibunango at 18:44 0 comments