Thursday, 5 February 2015
Tuesday, 3 February 2015
Ukarabati wa Kanisa la Anglikan - Mkunazini Zanzibar
The Anglican Christ Church Cathedral linafanyiwa ukarabati mkubwa katika kipindi cha zaidi ya miaka 140. Kanisa hili lilijengwa mwaka 1873 katika ujenzi uliochukua takribani miaka 10.
Picha kwa hisani ya Kathryn Rossiter
Posted by
Kibunango
at
20:30
0
comments
Subscribe to:
Posts (Atom)