Monday 29 June 2009

Mpemba na kuku

Saturday 20 June 2009

Leo ni Mwaka Kogwa....


Maelfu ya Wazenj leo wanaungana na Wanamakuduchi katika siku ya kuoga mwaka maarufu kama Mwaka Kogwa. Hizi ni sherehe za kimila zinazofanyika kila mwaka katika mwezi huu wa saba.

Kwa habari zaidi tembelea hapa

Saturday 30 May 2009

Ajali ya Mv Fatih



Tunasikitika kuwatangazia ajali mbaya ya meli ya mizigo (Mv. Fathi ya kampuni ya Seagul mali ya Bwana Said Mbuzi) ambayo ilikuwa ikitokea Zanzibar kuja Dar. Inasemekana kuna idadi kubwa ya watu waliopoteza maisha

Source: Jamii Forums



All pictures by Kibunango

Tuesday 26 May 2009

Bia, Konyagi na Sigara


Zenj unaweza kwenda baa na Konyagi yako ulionunua katika duka la ulevi na kuinywa hapo baa pasipo kupata usumbufu toka kwa mwenye baa. Unachotakiwa kufanya ni kuagiza maji au bia na glasi tu!