Friday 13 July 2012

Makontena yameondolewa Darajani

Jana usiku kulikuwa na vunja vunja kwenye Makontena ya darajani ili kupisha ujenzi wa bustani na parking za magari

Monday 9 July 2012

Mji Mkongwe(Stone Town) Wasafishwa


Siku ya Jumapili iliyopita, Mji Mkongwe ulisafishwa kwa kufagia barabara na chochoro zake pamoja na kuzoa taka mbalimbali katika Mji huo. Usafishaji uliwashirikisha Sustainable East Africa, FAZACH, Conservation & Education-Chumbe Island Coral Park na skuli kadhaa za Mji Mkongwe.

Sunday 8 July 2012