Wednesday 18 July 2012

Meli Kwa Jina la Skagit Imezama Karibu na Chumbe

Ilikuwa ikitokea Dar es Salaam kwenda Unguja, ikiwa na abiria 200. Kazi za uokoji zimeshaanza.

Boat za Sea Star na Kilimanjaro zimekwenda kwenye eneo la tukio kwa ajili ya uokoaji.. Habari zinasema kuwa miili ya abiria imeanza kuonekana ikielea. Hali ya bahari ina upepo mwingi kwa sasa.

Aidha kutokana na hali mbaya ya hewa meli moja imeshindwa kufika katika eneo la tukio na imerudi bandarini.

Mamia ya watu wapo bandarini Malindi wakiendelea kusubiri watakao okolewa.


Baadhi ya abiria waliookolewa

Uamusho Wawachimbia Mkwara Polisi...


Lidia Kucharcyk Anatafutwa na Familia yake.


Saturday 14 July 2012