Tuesday 24 July 2012
Monday 23 July 2012
Sunday 22 July 2012
Nahodha Katapika
"Watu wameiba mamilioni ya fedha, wamepora maekari ya ardhi ya waznz lakini Leo hii akisimama na kusema hautaki muungano anaoenekana ndio mtetezi wa waznz" mh. Shamsi Nahodha
Posted by Kibunango at 17:18 2 comments
Wednesday 18 July 2012
Meli Kwa Jina la Skagit Imezama Karibu na Chumbe
Ilikuwa ikitokea Dar es Salaam kwenda Unguja, ikiwa na abiria 200. Kazi za uokoji zimeshaanza.
Boat za Sea Star na Kilimanjaro zimekwenda kwenye eneo la tukio kwa ajili ya uokoaji.. Habari zinasema kuwa miili ya abiria imeanza kuonekana ikielea. Hali ya bahari ina upepo mwingi kwa sasa.
Aidha kutokana na hali mbaya ya hewa meli moja imeshindwa kufika katika eneo la tukio na imerudi bandarini.
Mamia ya watu wapo bandarini Malindi wakiendelea kusubiri watakao okolewa.
Posted by Kibunango at 16:39 1 comments
Subscribe to:
Posts (Atom)