Saturday 6 February 2010

Maalim Seif kukutana na Watanzania UK,tarehe 13/02/10




Jumuiya ya Wazanzibar waishio Uingereza (ZAWA) ina furaha kuwaalika mkutano wa hadhara utakaohutubiwa na Katibu Mkuu CUF Taifa, Maalim SEIF SHARIF HAMAD.

Wazanzibari na Watanzania wote waliopo UK na nchi za jirani wanakaribishwa kuhudhuria. Huu ni mkutano wa kwanza na wa kihistoria kufanyika hapa London baada ya maridhiano ya kuleta umoja miongoni mwa Wazanzibar.

SIKU: Jumamosi, tarehe 13/02/2010

WAKATI: Saa 7.30 mchana (1.30 PM)

PAHALA: Durning Hall (Nyuma ya Mangala Solicitor)
Earlham Grove,
Forest Gate, London
E7 9AB

Tel. 02085363800 (kupata maelezo ya mahala)

USAFIRI: Bus: 25, 86, 58 na Train: British rail (Forest Gate Station)

No comments: