Tuesday 2 October 2007

Lugha rasmi za SMZ



Hizo hapo juu ndio lugha rasmi zinazotambuliwa na SMZ hapa kisiwani Zanzibar.. Mpangilio unaoonekana hapo juu, ni kutokana na uhumimu wa lugha hizo katika SMZ na wananchi wake kwa ujumla..

4 comments:

Simon Kitururu said...

Duh!
Mkuu unazishuka zote hizo?

Kibunango said...

Aah! wapi...
Baadhi tu ndio zinapanda

Egidio Ndabagoye said...

Hiyo ya mwisho ni lugha gani mkuu?

Kibunango said...

Nilifikiri utakuwa unaijua.. kwani ni ya hukohuko mitaa ya kwenu... Uhindini