TODAY IS THE LAST DAY OF THE MONTH!
9 hours ago
Kisiwa cha Zanzibar kimejaaliwa kuwa na kila aina ya vituko na migongano ya aina kwa aina... Kwa ufupi napenda kutoa maoni yangu juu ya vituko hivyo, aidha kujua wengine wanamtazamo gani kuhusu vituko hivyo...
4 comments:
SMZ inatia aibu..
Kwani ni vinyama gani hao?
Ni wanyama wa kawaida... Ila wakifika Mbweni ni Vinyama.
Huyo mwenzetu hajafahamu vizuri inaonesha hayajakaa sawa sana, ni vinyama animals sio vinyama fulani viliomo kwenye miili ya watu
Post a Comment