Monday 8 March 2010

Maalim Seif apata nafuu...


Maalim Seif akiwa hospitalini Hindu Mandal leo hii. Maalim amenukuliwa akisema kuwa ameshapoa na anategemea kupata ruhusa ya kutoka hospitalini hapo mara baada ya kuonana na daktari wake.


Picha kwa hisani ya Mzee wa Sumo

No comments: